Ijumaa, 12 Julai 2013

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA NEEMA GASPA AFUNGUA BLOGU YAKE

Neema Gaspa ni mwimbaji wa nyimbo za injili, siku ya Jumatatu ameweza kufungua blogu yake mpya inayoenda kwa link hii: www.neemagaspaa.blogspot.com. Katika blog hii utapata kujua mengi kuhusu yeye na huduma yake.

Neema Gaspa akiwa katika ofisi ya Rumafrica Sinza Afrikasana

Blogu hii itakuwa inaweka habari za Mungu kutoka madhehebu mbalimbali nchini Tanzania na nje ya Tanzania. Lengo kuu ni kumtangaza huyu Yesu Kristo kwa njia ya mitandao.

Blogu hii imetengenezwa na RUMAFRICA. Rumafrica wanajishughulisha a shughuli za Graphics, shooting, kutengeneza blogs, websites, na kupiga still picture. Unaweza kuwasiliana nao kwa simu +255 715 85 15 23 au tembelea www.rumaafrica.blogspot.com au www.rumaafricajobs.blogspot.com


Neema Gaspa kwa sasa anajiandaa na kuzindua albamu yake inayoenda kwa jina la SHUJAA itakayofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza siku ya tarehe 01.09.2013 kuanzia saa 7:00 mchana na kuendelea. Kiingilio ni Tsh. 10,000 kwa VIP, watoto ni Tsh. 2,000 na viti vya kawaida ni Tsh. 5,000.

WANAWAKE WATUMISHI WA KIKRISTO (WWW) MBALIZI WATOA PIKIPIKI KWA WAANGALIZI

Wanawake Watumishi wa Kristo (WWK), Sehemu ya Mbalizi, wiki iliyopita ilitoa zawadi ya usafiri wa pikipiki kwa viongozi waangalizi wa sehemu hiyo, ili kuiwezesha kazi ya Mungu kusonga mbele zaidi pasipo kukwama kwa namna yoyote ile.

Akizungumza wakati wa tukio hilo, katika kongamano la siku mbili la WWK Sehemu ya Mbalizi, Mkurugenzi wa wanawake hao, Sevelina Mwasile alisema kuwa, wao kama wanawake wa kanisa la TAG wameona watoe vyombo hivyo vya usafuri ili kuondoa usumbufu kufika wasikoweza kirahisi.

Aidha Bi. Sevelina alisema, viongozi hao wamekuwa wakitumia baiskeli kwa muda mrefu na wakati mwingine walikuwa wakitembea kwa mguu kwenda kuifanya kazi ya Mungu mbali, jammbo ambalo limekwamisha kazi ya Mungu kwa kiwango kikubwa.

Mkurugenzi huyo alisema kuwa, miongoni mwa zawadi walizojadili, walifikia muafaka wa kununua Pikipiki tatu ili kila kiongozi apate usafiri wake kuliko kununua gari moja ambayo kila mmoja atakuwa akiitegemea.

Kiongozi huyo wa wanawake, aliwataja viongozi waliopewa zawadi hizo kuwa ni pamoja na ; Watson Mwanjoka, ambaye ni Mwangalizi wa Sehemu ya Mbalizi, Eliya Mukuku, Makamu Mwangalizi na Furahisha Ngofyela, katibu Mbalizi.

Akishukuru kwa tukio lililofanywa na wanawake hao, Mwangalizi Mwanjoka alisema ameshangazwa na kitendo kilichofanywa na wanawake hao kwani hakutengemea kupata usafiri.

Mwangalizi huyo alisema kuwa, wanawake hao wamekatisha kilio chake cha muda mrefu, huku akiweka wazi kuwa, kazi ya Mungu inahitaji uharaka ili kuiendeleza.

Naye Makamu Mwangalizi wa Sehemu hiyo, Mchungaji Eliya Bukuku, alisema wametembea kwa baiskel kwa muda mrefu hata kufika hatua ya kuchoka, lakini Mungu amejifunua kwa kuwahurumia kupitia wanawake hao.

Alitoa wito kwa Wakristo kuwaombea kwa bidii wanawake ili Mungu ayatumia maono waliyo nayo katika kazi yake.

Mbali na kutoa zawadi kwa Viongozi wao, WWK Sehemu ya Mbalizi walichangisha zaidi ya milioni nne kujenga vibanda vya kufanyia biashara, ili kutunisha mfuko ndani ya mji huo mdogo wa Mbalizi.

Akizungumzia tukio hilo, Mkurugenzi wa WWK Mbalizi, Bi. Mwasile alisema, kujengwa kwa vibanda hivyo, vya biashara vitasaidia kuongeza pesa na michango ya akina mama itapungua kwani mara baada ya vibanda hivyo kukamilika vitapangishwa na kodi zitakazo lipwa zitaingizwa moja kwa moja kwenye mfuko wa akina mama.

Alisema maono yao ni kupata milioni 50 kwaajili ya ujenzi na vibanda hivyo, ili kukamilisha ujenzi katikati mji huo wa Mbalizi unaosifika kibiashara mkoani Mbeya.

WAIMBAJI WA INJILI AFRIKA YA KUSINI WAKUSANYIKA NJE YA HOSPITALI ALIYOLAZWA MANDELA

Solly na Deborah katikati wakiimba na wenzao nje ya hospitali kumtakia afya njema mzee Madiba.©statesman.com
Kundi la waimbaji muziki wa injili nchini Afrika ya kusini jumatano wiki hii walikusanyika nje ya hospitali ya Medi-clinic Heart alikolazwa baba wa taifa hilo mzee Nelson Mandela jijini Pretoria akipatiwa matibabu ya ugonjwa ambapo walikuwa wamebeba maua kumtakia afya njema.

Kundi hilo la wanamuziki wapatao 10 wakiongozwa na mchungaji Solly Mahlangu na mwanamama Debora Frazer na waimbaji wengineo walikaririwa wakisema kuwa, kama waimbaji muziki wa injili nchini humo walifika hospitalini hapo kuonyesha upendo wao na heshima kwa Rais huyo mstaafu ambaye wanasema bado wanamuhitaji, ambapo walitumia muda nje ya hospitali hiyo wakiimba pamoja  na kufanya maombi kwa kiongozi huyo mstaafu.

Aidha mwimbaji anayeitwa Zanele Mbokazi amesema wao hawana fedha wala dhahabu lakini wanalo jina la Yesu ambalo ndio wanalolitoa kwa mzee Madiba na familia yake.Kwa upande wake Deborah amelitaka taifa hilo kuendelea na maombi juu ya mzee Madiba kwakuwa nchi hiyo na dunia kwa ujumla bado wanamuhitaji mzee Madiba "Ni baba wa kwetu sote, Mungu ampe maisha marefu zaidi duniani", amesema Deborah



Ni siku ya 35 tangu mzee Madiba kupelekwa hospitalini hapo kwa matibabu kutokana na maradhi ya mapafu yanayomfanya kushindwa kupumua vyema. Huku mzozo ambao ulikuwa umeigubika familia yake kuhusiana na masuala ya maziko yameonekana kumalizwa kama wajukuu wa mzee huyo walivyonukuliwa na vyombo vya habari wakijibu maswali ya watu waliokuwa wakiwauliza maswali kwenye mtandao wa twitter.

Chanzo : IOL

Jumatano, 10 Julai 2013

NEEMA GASPA KUFANYA UZINDUZI WA ALBAMU YAKE YA SHUU NDANI YA UBUNGO PALZA

Umehudhuria matamasha mengi lakini hili si la kukosa kwani kuna kitu Mungu anaenda kufanya juu ya maisha yako katika siku hii ya uzinduzi wa albamu ya mwaimbaji wa kimataifa wa nyimbo za injili Tanzani Neema anayeenda kuzindua albamu yake ya kwanza inayoenda kwa jina la SHUJAA. Utakuwa unajiliuliza ni nani Shujaaa..majibu anayo Neema Gaspa.

Neema Gaspa

Mungu anamtumia sana huyu mtumishi wa Mungu kwa njia ya uimbaji.  Neema Gaspa anatumia ujana wake kwa kazi ya Mungu, na huu ni moyo wa kipekee sana. Neema Gaspa baada ya kuona watu wengi wanauhitaji na kiu ya kutaka kufaidika na karama yake ya uimbaji, sasa ameamua kuzindua albamu yake ili karama yake wapate kuisikia na mwisho wa siku ni kumpa Mungu utukufu kwa maana YEYE anastahili.

Tunachokuomba ni wewe kufika katika eneo la tamasha Ubungo Plaza ili kumuunga mkono mtumishi wa Mungu. Umefika wakati wa kuwa busy sana kumtafuta Mungu. Unaposikia jambo fulani linafanyika kwa utukufu wa Mungu unatakiwa kuamka na kukimbia kumsifu Mungu wetu. Naye Mungu atajisikia furaha sana kuona mtoto wake ameacha kazi zake na kuungana na watu wanamsifu.

Sasa usikose kabisa kufika katika uzinduzi huu. Ikiwezekana mtaarifua na rafiki yako ili aweze kupokea muujiza wake kwa njia ya uimbaji.

Mgeni Rasmi katika uzinduzi huu ni Mheshimiwa Samweli Sitta  aliyekuwa Spika wa Bunge katika Jamhuri ya Tanzania
Mh. Samweli Sitta

Uzinduzi utafanyika katika jengo la kifahari la UBUNGO PLAZA, kwani hata MUNGU wetu wa kifahari sana na wa thamani sana ndio maana tumeona lazima asifiwe katika eneo linaloendana  na uthamani wake
Jengo la Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam

Kutakuwa na waimbaji wengi sana wa kimataifa kutoka nchini, baadhi yao ni kama:

AMBWENE MWASONGWE

BAHATI BUKUKU


EDSON MWASABWITE
 EVELYN MSOMA


MADAM RUTI

MARTH MWAIPAJA

MAXIMILLANI MWANAMAPINDUZI
 ENOCK JONASI

KIINGILIO KITAKUWA KAMA IFUATAVYO


Jumanne, 9 Julai 2013

MTANGAZAJI WA RADIO WAPO FM TANZANIA AVAMIWA, KUPORWA NA KUKATWA KISU KOONI





Katika hali ambayo inaashiria kwamba usalama wa watu na mali zao katika uwanja wa taifa hususan siku za matamasha hautoshi, mtangazaji na fundi mitambo wa WAPO Radio FM, Filemon Rupia, maarufu kama Father Filemon Rupia, amevamiwa usiku wa tamasha la matumaini na watu wasiojulikana, ambapo walimpora vitu kadhaa ikiwemo simu zake, pesa na kisha kumkata na kitu kinachosadikiwa kuwa ni kisu kwenye koo lake.

Tukio hilo linasemekeana kutokea majira ya saa mbili usiku, ambapo Filemon Rupia na wafanyakazi wenzake wakitokea kwenye ibada ya ujazo wa Roho Mtakatifu maeneo ya Mbezi Beach inayofahamika kama Oparesheni Takasika, walifika maeneo ya uwanja wa taifa, ambapo Father Rupia aliamua kurejea nyumbani kutokana na uchovu, ambapo wenzake walimuacha kwenye lango la kuingia uwanjani - ambapo alianza kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani kwake.

Laiti kama angejua kilicho mbele yake, hakika angeingia na wenzake uwanjani, lakini mwanadamu ni mwanadamu tu. Kilichotokea wakati akitafuta usafiri ndio hiki tunachozungumza sasa, kuvamiwa, kuporwa, na kukatwa na kisu kwenye koo lake, ambapo haijajulikana lengo hasa la wavamizi hao kufanya hivyo ilikuwa ni nini.

Hata hivyo Mungu ashukuriwe, kwani kwa hivi sasa Filemon Rupia anaendelea vizuri baada ya kupatiwa huduma kwenye hospitali ya Kairuki, amapo alishonwa nyuzi kadhaa kwa ndani na nje ya koo. Tutakufikishia taarifa zaidi pindi ambapo tutazipokea kutoka kwenye vyanzo vyetu. Kwa hivi sasa anahitaji maombi yako kuvuka hali aliyonayo.

Maelezo ya Rupia

Hatimaye baada ya kufanya mawasiliano na Rupia, anaeleza kuwa akiwa anataka kuchukua bodaboda eneo la uwanja wa taifa, ndipo hapo dhahama lilitokea.

Bodaboda mbili zilikataa kwa maelezo kuwa kuna mtu anasubiriwa, bodaboda ya tatu ikadai kuwa haiwezi kwenda mbali. Ndipo hapo akalazimika kusogelea bodaboda za mbele zaidi ili apelekwe nyumbani, kilichofatia hao ni roba ya mbao, na kuvamiwa na vijana kadhaa ambapo katika purukushani, walitoa kisu na kuanza kumkata kooni, ambapo kisu kilikata ubao na kumchana eneo la kidevu na shingo. Na kama sio ubao kuwepo katikati, basi yangekuwa mengine kwa hivi sasa.

Mara baada ya ya hapo, ikafuata kuzirai kwa dakika kadhaa, na alipozinduka, ndio akasogea hadi getini kuomba msaada, ambapo walikwenda hadi kituo cha Polisi kabla ya kuelekea hospitali ya Temeke (ambapo huduma zilikuwa hafifu) na baadae kurudi nyumbani kwa ajili ya kwenda hospitali ya Kairuki.

Wakati haya yote yanatokea, alikuwa akizungumza na mfanyakazi mwenzake, Joyce Mathew, ambaye baada kufuatilia tukio lote kupitia simu kuanzia wanamkaba na hadi kuiba mali zake, aliwasiliana na wakubwa zake, ambapo msaada ulifanikiwa kupatikana kwa wepesi zaidi.

Pamoja na yote haya, hapa ndipo tunakumbushwa kuwa kila mara jua likizama na tukalala na kuamka salama, basi sifa na utukufu tukumbuke kumrejeshea Yesu Kristo anayetawala muda wote.

source:gospelkitaa

WISE MAN DANIEL-SCOAN: MUULIZE MUNGU NA SIO MTU AU MWANADAMU


Hii ilikuwa ni ibada ya Jumapili ya tarehe 07.07.2013 na huu ndio ujumbe aliokuletea kutoka kwa Mungu. Mungu akubariki sana utakaposoma na kuelewa kile Mungu amekuletea siku ya leo kwa kupitia mtumishi wa Mungu Nabii T.B. Joshua kutoa Nigeria SCOAN.

Utaweza kujua jinsi anavyoamini juu ya kutabiri, anavyolia juu ya watu wsio na ajira, na mambo mengi ambayo utasikia kutoka kwake. Pia kuna shuhuda za kusisimua sana ambazo kwa kweli utaamini kuwa Mungu anamtumia sana mtumishi wa Mungu.

Mungu siku hii ya Jumapili aliweza kumtumia mtumishi wa Mungu DANIEL kuhubiri juu ya ujumbe huu:
MUULIZE MUNGU NA SIO MWANADAMU AU MTU,Alitukumbusha sisi katika kitabu cha Zaburi 12:2 Tunaweza kumwamini Mungu kwa Yeye ndiye asili ya yote tunayoyahitaji kutoka kwake katika maisha yetu ya sasa. Kama utaamini wasiwasi utatoweka.

Ukisoma hapo chini utaweza kujua mengi aliyohubiri Mtumishi wa Mungu Daniel.

Prophet T.B. Joshua often says that a prophet shall prophesy that which he will live to see accomplished. That popular saying of the man of God was once again proven by the testimony of a young couple into whose lives he had prophesied concerning the sex of their baby while it was yet an embryo in the lady’s womb. That singular evidence, which is not an isolated case of Prophet T.B. Joshua’s prophesies as being a communicator between the visible and invisible worlds, only demonstrates the unquestionable evidence that he sees, says, hears and acts as God instructs.

When Prophet T.B. Joshua also warned against an impending global economic catastrophe and advised going back to the drawing board, he was voicing out what he had seen and heard from God. To lend credence to his concerns, he launched the now world-acclaimed SCOAN Job Creation Initiative for young graduates and youth which aims at bridging the ever-widening gap between the rich and the poor, as well as to reduce the escalating crime rate due to joblessness on our streets.

In his message during the Sunday service, Prophet T.B. Joshua said that the so-called legacy of education we give to our children will be meaningless because the prevalent unemployment in the world economy has made education useless and therefore, the young ones fail to see any value in education.

The twenty-two graduates, who had earlier benefited from The SCOAN Job Creation Initiative for young graduates and youth, were present at the service to present their letters of appointment and to thank the man of God for his benevolence.

Responding to Prophet T.B. Joshua’s clarion call Mrs Sina Chuma-Mkandawire, Director/Representative of the International Labour Organisation (ILO), United Nations and Laison Office for ECOWAS came to The SCOAN. Applauding the initiative, she also announced their readiness to partner with Prophet T.B. Joshua and Emmanuel TV to carry the employment campaign to greater heights.

ASK GOD, NOT MAN – Wise Man Daniel


In Wise Man Daniel’s message titled ‘Ask God, Not Man’, he reminded us of what Psalm 12:2 says that everyone lies to his neighbor. If everyone lies to his neighbour, who then can we believe? We can believe God as the only reliable source of all we need to live for Him here and now. If you can believe, worry and anxiety will varnish. Some human plans or your mind may come between you and God’s Word but rest upon what God says, “If you believe, all things are possible!”

In the process of finding out the truth, we need to get familiar with God through His Word and by His Spirit because we can count on God’s Word being good and it cannot fail without God failing.

From the hundreds of people who were eager to share their testimonies of healing, deliverance and breakthrough, we were able to accommodate just a few in view of the many activities lined up for the Sunday Service.

FULFILMENT OF PROPHECY, ‘I SEE A BABY GIRL’ – Prophet T.B. Joshua


Mrs Jovita and her husband came to The SCOAN with their baby girl to give testimony to the fulfillment of the prophecy earlier given to them by Prophet T.B. Joshua. They came to The SCOAN in 2012 when Mrs Jovita was pregnant and the man of God had prophesied that he saw a baby girl. The lady says she was excited at the prospect of having a baby because they had been childless for some years. She later went to the hospital to do a pregnancy scan and it was confirmed that she was pregnant with a baby girl. When she was due, she gave birth to a bouncing baby girl without complications. Indeed, the Word of God uttered through his prophet will not return void ‘til it has accomplished what was said. Mrs Jovita’s advice was that there is nothing impossible for God; your case is possible.

MEDICAL PROOF: HIV/AIDS CURED THROUGH THE ANOINTING WATER


Patricia Mokane from Botswana tested in 2008 and was confirmed positive to HIV/AIDS 1. She experienced back pain, severe headaches, general body weakness and dizziness during the years following.

When she watched Emmanuel TV and witnessed the many testimonies of healing, she was persuaded to ask one of her friends who had visited The SCOAN, to give her the Anointing Water she had received during her visit.

She ministered the Anointing Water, praying, “Jesus Christ, Son of David, have mercy on me. You helped Hagar in the desert. As You helped Hagar and You healed Naaman through a pool of water, don’t let me die. Please God, heal me today”.

When The SCOAN evangelists visited Botswana to register people who wished to visit The SCOAN. She told The SCOAN evangelist that she needed prayer for the problem of HIV/AIDS but The SCOAN evangelist advised her to go for another blood test to confirm her current HIV status because the medical report she had brought to the screening center was outdated. She complied and returned to the hospital to do another test and to her greatest shock and amazement, she tested negative to HIV/AIDS. Not really believing what had transpired, she went again and again to five different hospitals including the same government hospital that confirmed her to be positive to HIV/AIDS 1 and the various reports corroborated her HIV/AIDS negative status.

She showed her BEFORE and AFTER medical reports from a government hospital in Botswana, proving that she was once confirmed HIV/AIDS Positive 1 but is now negative to HIV/AIDS.

HEPATITIS B ALMOST RUINED MY PROFESSIONAL BOXING CAREER


Godwin Codjo is a professional boxer from Ghana. He experienced dizziness and general body weakness which he thought were part of the hazards associated with his boxing career. When he went to the hospital to seek medical advice, he was diagnosed with Hepatitis B. This illness affected his career as a professional boxer because he was unable to train for three years.

All the medication he took could not relieve him of the excruciating pain and other symptoms he was feeling. Desiring to get quickly out of that situation that had rendered him financially and physically handicapped, he decided to seek for a solution to his problem and came to The SCOAN. He received The Anointing Water and ministered it in Jesus’ name. When he returned to Ghana, he had dreams of the wise men delivering him. After that dream, he began to experience the absence of those painful feelings. He later went back to the hospital and tested negative to Hepatitis B to the amazement of the doctors.

Godwin showed his medical reports proving that he once had Hepatitis B but is now completely healed through the Anointing Water. He advised everyone to believe and trust in God because He can do all things.

BUSINESS RESTORED THROUGH THE ANOINTING WATER


Emmanuel Nwosu, who was once a successful transporter and owner of a number of duplexes, was suddenly plunged into a state of abject poverty after his fortune mysteriously collapsed.

He recalls that after the death of his father who was a formidable witch doctor, there were some idols that were left in their family home. He was uncomfortable with having to share the family house with fetish objects of that nature. Relying on his own strength, Mr. Nwosu called some prayers warriors and together they burnt those idols.

After the burning of the idols, his trucks started having ghastly accidents which resulted in their being written off as damaged beyond repair. As he spent money in trying to repair them, they would have accidents again ‘til he ended up selling his buildings and other valuable property to raise the much-needed funds. After all his buildings had been sold off, he ended up as a tenant in another man’s house.

Desperately in search of a solution to his problem, he watched Emmanuel TV and came to the SCOAN where he received the Anointing Water. Praying and ministering it in Jesus’ name, Mr Nwosu’s business started booming within a short time. Today, he has built another double storey house and bought new trucks for his business. He gladly displayed photographs of his newly-acquired wealth to the congregation to the glory of God.

CEASED MENSTRUATION NOW A THING OF THE PAST


Rose Okwuta, a Togolaise living in the USA, was suffering from ceased menstruation for a long time. She had used all forms of medication to no avail. One day, she came across Emmanuel TV and prayed along with Prophet T.B. Joshua when he was praying for the viewers. At the same time, by faith, she placed the Anointing Water booklet on her stomach and continued to pray along with Prophet T.B Joshua. After the prayer, she felt a strange sensation and ran to the toilet. To her greatest surprise, she discovered that her menstruation had started to flow, to the glory of God. She advised people to have faith in God and that with God all things are possible.

FROM NOBODY TO SOMEBODY


Mr Samuel Diah, a Tanzanian, came to The SCOAN with the problem of stagnation and business failure. He had occupied important positions at his work place and served in strategic capacities but he had nothing in terms of material wealth to show for his years of dedicated service. He had almost written himself off as a total failure. However, with the last ray of hope left in him, he decided to give God a chance to demonstrate His power over his life. He visited The SCOAN and received the Anointing Water and ministered it daily in Jesus’ name.

A month later, he received a call from the Ministry of National Tourism and Natural Resources notifying him that he had been elected as a director of the Tanzanian Tourist Board. He also gave another testimony of how God had saved him and his son from a ghastly road accident. That fateful day, before leaving his house, he ministered the Anointing Water as usual and drove his son to school. Along the way, the car swerved and somersaulted. People ran to see if there were any survivors in the car and miraculously, nothing happened to them. To God be the glory. He showed his appointment letters and photographs of the scene of the accident.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...